1 Wafalme 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Mwambieni hivi, ‘Mtu anayejifunga mshipi+ asijisifu kama yeye anayejifungua mshipi.’”+ Methali 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+ Mhubiri 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia;+ wakati wa vita+ na wakati wa amani.+
11 Naye mfalme wa Israeli akajibu na kusema: “Mwambieni hivi, ‘Mtu anayejifunga mshipi+ asijisifu kama yeye anayejifungua mshipi.’”+
24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+