Yeremia 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yehova akaniambia: “Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini juu ya wakaaji wote wa nchi.+ Yeremia 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amesema hivi: “Tazama! Maji yanakuja+ kutoka kaskazini+ nayo yamekuwa mto unaofurika. Nayo yataifurikisha nchi na vyote vilivyomo, jiji na wale wanaokaa humo.+ Na hakika watu watalia, na kila mtu anayekaa katika nchi atapiga mayowe.+
2 Yehova amesema hivi: “Tazama! Maji yanakuja+ kutoka kaskazini+ nayo yamekuwa mto unaofurika. Nayo yataifurikisha nchi na vyote vilivyomo, jiji na wale wanaokaa humo.+ Na hakika watu watalia, na kila mtu anayekaa katika nchi atapiga mayowe.+