Ayubu 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wao ni tasa kwa sababu ya upungufu na njaa,Wanatafuna eneo lisilo na maji,+Ambapo jana palikuwa na dhoruba na ukiwa. Yeremia 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hakika yeye atakuwa kama mti ulio peke yake katika nchi tambarare ya jangwani wala hataona wakati mema yatakapokuja;+ lakini atakaa mahali pakavu katika nyika, katika nchi yenye chumvi ambayo haikaliwi.+
3 Wao ni tasa kwa sababu ya upungufu na njaa,Wanatafuna eneo lisilo na maji,+Ambapo jana palikuwa na dhoruba na ukiwa.
6 Na hakika yeye atakuwa kama mti ulio peke yake katika nchi tambarare ya jangwani wala hataona wakati mema yatakapokuja;+ lakini atakaa mahali pakavu katika nyika, katika nchi yenye chumvi ambayo haikaliwi.+