Hesabu 32:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na wana wa Rubeni wakajenga Heshboni+ na Eleale+ na Kiriathaimu,+ Yeremia 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi:+ “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameporwa! Kiriathaimu+ ameona aibu, ametekwa. Kilele kilicho salama kimeona aibu na kutiwa hofu.+
48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi:+ “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameporwa! Kiriathaimu+ ameona aibu, ametekwa. Kilele kilicho salama kimeona aibu na kutiwa hofu.+