6 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu, kwamba yeye ana kiburi sana;+ majivuno yake na kiburi chake na ghadhabu yake+—maneno yake matupu hayatakuwa hivyo.+
25 Ninazitangua ishara za wenye kuongea maneno matupu, na ni mimi anayewafanya waaguzi watende kiwazimu;+ Yule anayewageuza watu wenye hekima warudi nyuma, na Yule anayeugeuza ujuzi wao kuwa upumbavu;+
36 Kuna upanga juu ya wale wanaoongea maneno matupu,+ na hakika wao watatenda kipumbavu.+ Kuna upanga juu ya wanaume wake wenye nguvu,+ na kwa kweli wao wataingiwa na woga.+