Hesabu 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Israeli akayachukua majiji hayo yote, naye Israeli akaanza kukaa katika majiji yote ya Waamori,+ katika Heshboni+ na miji yake yote ya kandokando. Yoshua 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+ Yeremia 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Moabu+ haina sifa yoyote tena. Katika Heshboni+ wamefikiria msiba juu yake: ‘Njooni, tumkatilie mbali asiwe taifa.’+ “Wewe pia, Ee Madmeni, unapaswa kunyamaza kimya. Upanga unatembea nyuma yako.
25 Basi Israeli akayachukua majiji hayo yote, naye Israeli akaanza kukaa katika majiji yote ya Waamori,+ katika Heshboni+ na miji yake yote ya kandokando.
17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+
2 Moabu+ haina sifa yoyote tena. Katika Heshboni+ wamefikiria msiba juu yake: ‘Njooni, tumkatilie mbali asiwe taifa.’+ “Wewe pia, Ee Madmeni, unapaswa kunyamaza kimya. Upanga unatembea nyuma yako.