7 Amepanda kama simba kutoka katika kichaka chake,+ na yule anayeyaangamiza mataifa ameondoka;+ ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yako yatabomoka hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+
3 Sikiliza! Mayowe ya wachungaji,+ kwa maana utukufu wao umeporwa.+ Sikiliza! Kunguruma kwa wana-simba wenye manyoya shingoni, kwa maana vichaka vyenye kiburi kando ya Yordani vimeporwa.+