Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko dhidi ya wachungaji,+ na hakika mimi nitadai kondoo zangu kutoka mkononi mwao na kuwafanya waache kuwalisha kondoo zangu,+ nao wachungaji hawatajilisha tena kamwe;+ nami nitawakomboa kondoo zangu kutoka kinywani mwao, nao hawatakuwa chakula chao.’ ”+

  • Yoeli 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Jifungeni mshipi, jipigeni vifua,+ ninyi makuhani. Pigeni mayowe, ninyi wahudumu wa madhabahu.+ Ingieni ndani, kaeni usiku kucha mkiwa mmevaa nguo za magunia, ninyi wahudumu wa Mungu wangu; kwa maana nyumba ya Mungu wenu imenyimwa toleo la nafaka+ na toleo la kinywaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki