-
Yeremia 50:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 “Tazama! Mtu atapanda kama simba kutoka katika vichaka vyenye fahari kando ya Yordani kwenda kwenye makao yenye kudumu,+ lakini kwa kitambo kidogo nitawakimbiza kutoka kwake.+ Na yule ambaye amechaguliwa nitamweka juu yake.+ Kwa maana ni nani aliye kama mimi,+ na ni nani atakayenipinga,+ na ni nani, sasa, aliye mchungaji anayeweza kusimama mbele zangu?+
-