Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakuna aliye na ushupavu kiasi cha kumwamsha.

      Na ni nani ambaye anaweza kusimama mbele zangu?+

  • Yeremia 49:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Tazama! Mtu atapanda tu kama simba+ kutoka katika vichaka vyenye fahari kando ya Yordani kwenda kwenye makao yanayodumu,+ lakini katika muda mfupi nitamfanya akimbie kutoka kwake.+ Nami nitaweka juu yake yule ambaye amechaguliwa. Kwa maana ni nani aliye kama mimi,+ na ni nani atakayenipinga,+ na ni nani, sasa, aliye mchungaji anayeweza kusimama mbele zangu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki