Zaburi 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atauleta uadilifu wako kama nuru,+Na haki yako kama katikati ya mchana.+ Mika 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+
9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+