4 Na Yeremia akamwita Baruku+ mwana wa Neria ili Baruku aandike kwa kinywa cha Yeremia maneno yote ya Yehova ambayo Yeye alikuwa amemwambia, katika kile kitabu cha kukunjwa.+
45Neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku+ mwana wa Neria alipoandika katika kitabu maneno haya kutoka kinywani mwa Yeremia+ katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, akisema: