12 kisha nikampa hati ya ununuzi Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya macho ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu na mbele ya macho ya mashahidi, wale wenye kuandika katika ile hati ya ununuzi,+ mbele ya macho ya Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika Ua wa Walinzi.+