11 Na wale watu wengine+ walioachwa nyuma katika jiji na wale waliokimbia, wakamwendea mfalme wa Babiloni na ule umati mwingine, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+
9 Na Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi+ akawapeleka uhamishoni kule Babiloni+ wale watu wengine walioachwa ndani ya jiji, na wale waliokimbia ili kujiunga naye, na watu wengine walioachwa.