2 Mambo ya Nyakati 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+ Amosi 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitapeleka moto ndani ya Yuda, nao utaiteketeza minara ya makao ya Yerusalemu.’+
19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+