13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+
6 Akawaambia: “Isaya kwa kufaa alitoa unabii juu yenu wanafiki, kama ilivyoandikwa,+ ‘Watu hawa huniheshimu mimi kwa midomo yao, bali mioyo yao iko mbali nami.+