Zaburi 81:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;+Na Israeli hakuonyesha utayari wowote kunielekea.+ Yeremia 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Nami nilisimamisha walinzi juu yenu,+ ‘Isikilizeni sauti ya baragumu!’”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutaisikiliza.”+
17 “Nami nilisimamisha walinzi juu yenu,+ ‘Isikilizeni sauti ya baragumu!’”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutaisikiliza.”+