Ezekieli 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+ Amosi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi sasa lisikie neno la Yehova, ‘Je, unasema: “Usitoe unabii juu ya Israeli,+ wala usiache neno lolote lianguke+ juu ya nyumba ya Isaka”?
2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+
16 Basi sasa lisikie neno la Yehova, ‘Je, unasema: “Usitoe unabii juu ya Israeli,+ wala usiache neno lolote lianguke+ juu ya nyumba ya Isaka”?