Yeremia 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+ Ezekieli 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kiondoe kilemba, na kulivua taji.+ Hili halitakuwa tena kama lilivyo.+ Kiinue kilicho chini,+ na ukishushe kilicho juu.+
6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+
26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kiondoe kilemba, na kulivua taji.+ Hili halitakuwa tena kama lilivyo.+ Kiinue kilicho chini,+ na ukishushe kilicho juu.+