Ezekieli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakutakuwako tena maono yoyote yasiyo na thamani+ wala uaguzi wenye nyuso mbili katikati ya nyumba ya Israeli.+ Ezekieli 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nao manabii wake wamewapigia lipu kwa kutumia chokaa,+ wakiona maono yasiyo halisi+ na kuagua uwongo+ kwa ajili yao, na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.
24 Kwa maana hakutakuwako tena maono yoyote yasiyo na thamani+ wala uaguzi wenye nyuso mbili katikati ya nyumba ya Israeli.+
28 Nao manabii wake wamewapigia lipu kwa kutumia chokaa,+ wakiona maono yasiyo halisi+ na kuagua uwongo+ kwa ajili yao, na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.