Zaburi 106:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nao wakawa wasio safi kwa sababu ya kazi zao+Na wakaendelea kufanya uasherati kwa matendo yao.+ Hosea 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi binafsi nimejua Efraimu,+ Israeli nayo haikufichwa kutoka kwangu.+ Kwa sasa, Ee Efraimu, umewatendea wanawake kama makahaba;+ Israeli imejitia unajisi.+ Hosea 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nimeona jambo lenye kuchukiza+ sana katika nyumba ya Israeli. Humo Efraimu+ anafanya uasherati. Israeli amejitia unajisi.+
3 Mimi binafsi nimejua Efraimu,+ Israeli nayo haikufichwa kutoka kwangu.+ Kwa sasa, Ee Efraimu, umewatendea wanawake kama makahaba;+ Israeli imejitia unajisi.+
10 Nimeona jambo lenye kuchukiza+ sana katika nyumba ya Israeli. Humo Efraimu+ anafanya uasherati. Israeli amejitia unajisi.+