Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nao wakawa wasio safi kwa sababu ya kazi zao+

      Na wakaendelea kufanya uasherati kwa matendo yao.+

  • Hosea 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi binafsi nimejua Efraimu,+ Israeli nayo haikufichwa kutoka kwangu.+ Kwa sasa, Ee Efraimu, umewatendea wanawake kama makahaba;+ Israeli imejitia unajisi.+

  • Hosea 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nimeona jambo lenye kuchukiza+ sana katika nyumba ya Israeli. Humo Efraimu+ anafanya uasherati. Israeli amejitia unajisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki