Kutoka 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+ Hosea 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+
6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+
6 Pia wakashiba kulingana na malisho yao.+ Walishiba, kisha moyo wao ukaanza kujiinua.+ Ndiyo sababu walinisahau mimi.+