Ezekieli 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kuhusu wale waliouawa ambao ninyi mmewaweka katikati yake, wao ni nyama,+ na yeye ndiye chungu cha kupikia chenye mdomo mpana;+ na ninyi wenyewe mtatolewa katikati yake.’ ”+ Ezekieli 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Nami hakika nitawatoa ninyi katikati yake na kuwatia mkononi mwa wageni+ na kutekeleza juu yenu matendo ya hukumu.+
7 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kuhusu wale waliouawa ambao ninyi mmewaweka katikati yake, wao ni nyama,+ na yeye ndiye chungu cha kupikia chenye mdomo mpana;+ na ninyi wenyewe mtatolewa katikati yake.’ ”+
9 ‘Nami hakika nitawatoa ninyi katikati yake na kuwatia mkononi mwa wageni+ na kutekeleza juu yenu matendo ya hukumu.+