11 Siku uliyosimama kando, siku ambayo wageni walichukua jeshi lake na kulipeleka utekwani+ na wageni kabisa walipoingia katika lango lake,+ wakapiga kura+ juu ya Yerusalemu, wewe pia ulikuwa kama mmoja wao.
10 Yeye, pia, alikusudiwa uhamisho; alienda utekwani.+ Watoto wake mwenyewe pia wakavunjwa vipande-vipande mbele ya barabara zote.+ Wakapiga kura+ juu ya watu wake waliotukuzwa, na wakuu wake wote wamefungwa kwa pingu.+