8 Ni nani ambaye ametoa shauri hili+ juu ya Tiro, mwenye kuvika watu mataji, ambaye wanabiashara wake walikuwa wakuu, ambaye wafanya-biashara wake walikuwa watu wenye vyeo wa dunia?+
6 Neno hilo lilipomfikia mfalme wa Ninawi,+ ndipo akasimama kutoka kwenye kiti chake cha ufalme, akavua vazi lake rasmi na kujifunika nguo za magunia na kuketi katika majivu.+