- 
	                        
            
            Ezekieli 28:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        2 “Mwana wa binadamu, mwambie kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “ ‘ “Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ nawe unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.+ Katika kiti cha mungu nimejiketisha mwenyewe,+ katika moyo wa bahari kuu,’+ wakati ambapo wewe ni mtu wa udongo,+ wala si mungu,+ nawe unaendelea kuufanya moyo wako kama moyo wa mungu— 
 
-