8 Ndipo Yehova akawatia mkononi+ mwa Israeli, nao wakawapiga na kuwafuatilia mpaka Sidoni+ jiji lenye hesabu kubwa ya watu na Misrefoth-maimu+ na nchi tambarare ya bondeni ya Mispe+ upande wa mashariki; nao wakaendelea kuwapiga, hata asibaki yeyote kati yao mwenye kuokoka.+