1 Mambo ya Nyakati 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wana wa Hamu walikuwa Kushi+ na Misraimu,+ Putu+ na Kanaani.+ Yeremia 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pandeni, enyi farasi; na kwenda kiwazimu, enyi magari! Wanaume wenye nguvu na waende, Kushi+ na Putu,+ wanaochukua ngao, na Ludimu,+ wanaoshika na kukanyaga upinde. Ezekieli 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ethiopia+ na Putu+na Ludi na jamii yote iliyochangamana+ na Kubu na wana wa nchi ya agano—pamoja nao wataanguka kwa upanga.” ’+ Nahumu 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ethiopia na Misri+ pia walikuwa nguvu zake kamili; nazo hazikuwa na kikomo. Waputu na Walibya nao walikuwa msaada kwako.+
9 Pandeni, enyi farasi; na kwenda kiwazimu, enyi magari! Wanaume wenye nguvu na waende, Kushi+ na Putu,+ wanaochukua ngao, na Ludimu,+ wanaoshika na kukanyaga upinde.
5 Ethiopia+ na Putu+na Ludi na jamii yote iliyochangamana+ na Kubu na wana wa nchi ya agano—pamoja nao wataanguka kwa upanga.” ’+
9 Ethiopia na Misri+ pia walikuwa nguvu zake kamili; nazo hazikuwa na kikomo. Waputu na Walibya nao walikuwa msaada kwako.+