8 Je, Waethiopia+ na Walibya+ hawakuwa jeshi kubwa sana kwa wingi, kwa magari na kwa wapanda-farasi;+ na kwa sababu ulimwegemea Yehova, je, hakuwatia mkononi mwako?+
9 Pandeni, enyi farasi; na kwenda kiwazimu, enyi magari! Wanaume wenye nguvu na waende, Kushi+ na Putu,+ wanaochukua ngao, na Ludimu,+ wanaoshika na kukanyaga upinde.
10 Waajemi+ na Waludimu+ na watu wa Putu+—walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walitundika ngao na kofia kwako.+ Wao ndio walioisababisha fahari yako.