Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana wa Hamu walikuwa Kushi+ na Misraimu+ na Putu+ na Kanaani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Je, Waethiopia+ na Walibya+ hawakuwa jeshi kubwa sana kwa wingi, kwa magari na kwa wapanda-farasi;+ na kwa sababu ulimwegemea Yehova, je, hakuwatia mkononi mwako?+

  • Yeremia 46:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Pandeni, enyi farasi; na kwenda kiwazimu, enyi magari! Wanaume wenye nguvu na waende, Kushi+ na Putu,+ wanaochukua ngao, na Ludimu,+ wanaoshika na kukanyaga upinde.

  • Ezekieli 27:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Waajemi+ na Waludimu+ na watu wa Putu+—walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walitundika ngao na kofia kwako.+ Wao ndio walioisababisha fahari yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki