15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amemwambia Tiro hivi, ‘Inapotokea sauti ya kuanguka kwako, wakati ambapo aliyetiwa majeraha ya kufisha atakapougua, wakati ambapo kutakuwapo mauaji yenye machinjo katikati yako, je, visiwa havitatikisika?+
17 kwa sababu katika saa moja mali nyingi hivyo zimefanywa ukiwa!’+
“Na kila kapteni wa meli na kila mtu ambaye husafiri baharini mahali popote,+ na mabaharia na wale wote ambao hupata riziki baharini, walisimama mbali+