16 Nao wakuu wote wa bahari hakika watashuka kutoka katika viti vyao vya ufalme+ na kuvua makoti yao yasiyo na mikono, nao watayavua mavazi yao wenyewe yenye mapambo. Watavaa mavazi ya kutetemeka. Wataketi chini,+ nao hakika watatetemeka kila pindi+ na kukukazia macho kwa mshangao.