17 Nao wataimba wimbo wa huzuni juu yako+ na kukuambia:
“ ‘ “Lo! Jinsi umeangamia, wewe uliyekuwa ukikaliwa kutoka baharini,+ wewe jiji lililosifiwa, uliyekuwa mwenye nguvu katika bahari,+ yeye na wale wanaokaa ndani yake, wale waliowatia wakaaji wote wa dunia woga wao!