Maombolezo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+ Ufunuo 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na kupaaza kilio walipokuwa wakiutazama moshi uliotokana na kuteketezwa kwake na kusema, ‘Ni jiji gani lililo kama lile jiji kubwa?’+
13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+
18 na kupaaza kilio walipokuwa wakiutazama moshi uliotokana na kuteketezwa kwake na kusema, ‘Ni jiji gani lililo kama lile jiji kubwa?’+