16 ili kuifanya nchi yao kuwa kitu cha kushangaza,+ kuwa ya kupigiwa mluzi mpaka wakati usio na kipimo.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kutikisa kichwa chake.+
8 Nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi.+ Kila aliye wa mwisho atakayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+
15 “Wanabiashara+ wanaosafiri wa vitu hivyo, waliopata utajiri kutokana naye, watasimama mbali kwa sababu ya woga wao juu ya kuteseka kwake na kulia na kuomboleza,+