Yeremia 43:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri;+ naye hakika ataiteketeza na kuipeleka mateka na kujifunga yeye mwenyewe katika nchi ya Misri, kama mchungaji anavyojifunga katika vazi lake,+ na kwa kweli ataondoka huko kwa amani. Ezekieli 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ‘Lazima pia wafanywe kuwa ukiwa katikati ya nchi zilizofanywa ukiwa, na majiji yake yatakuwa katikati kabisa ya majiji yaliyoharibiwa.+
12 Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri;+ naye hakika ataiteketeza na kuipeleka mateka na kujifunga yeye mwenyewe katika nchi ya Misri, kama mchungaji anavyojifunga katika vazi lake,+ na kwa kweli ataondoka huko kwa amani.
7 ‘Lazima pia wafanywe kuwa ukiwa katikati ya nchi zilizofanywa ukiwa, na majiji yake yatakuwa katikati kabisa ya majiji yaliyoharibiwa.+