19 Jifanyie mzigo kwa ajili ya uhamisho,+ Ee mwanamke mkaaji, binti+ ya Misri. Kwa maana Nofu+ litakuwa kitu cha kushangaza na kwa kweli litawashwa moto, hivi kwamba lisiwe na mkaaji.+
12 Nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahame yenye ukiwa katikati ya nchi zilizofanywa ukiwa;+ na majiji yake yatakuwa mahame yenye ukiwa katikati ya majiji yaliyoharibiwa kwa miaka 40;+ nami nitawatawanya Wamisri katikati ya mataifa na kuwatapanya katika nchi mbalimbali.”+
18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+