Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Wamisri hakika watajua kwamba mimi ni Yehova wakati ambapo nitaunyoosha mkono wangu juu ya Misri,+ nami kwa kweli nitawatoa wana wa Israeli kutoka katikati yao.”+

  • Zaburi 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+

      Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+

      Higayoni. Sela.

  • Ezekieli 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahame yenye ukiwa katikati ya nchi zilizofanywa ukiwa;+ na majiji yake yatakuwa mahame yenye ukiwa katikati ya majiji yaliyoharibiwa kwa miaka 40;+ nami nitawatawanya Wamisri katikati ya mataifa na kuwatapanya katika nchi mbalimbali.”+

  • Ezekieli 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninampa Nebukadreza mfalme wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atauchukua utajiri wake na kuteka nyara kubwa kutokana nayo+ na kuipora kwa wingi sana; nayo itakuwa malipo kwa ajili ya jeshi lake.’

  • Ezekieli 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “ ‘Nami nimempa nchi ya Misri iwe malipo yake kwa ajili ya utumishi ambao alifanya juu yake, kwa sababu walitenda kwa ajili yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki