Ezekieli 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Katika siku hiyo wajumbe watatoka mbele zangu katika meli, ili kuifanya Ethiopia yenye kujitumaini ianze kutetemeka.+ Na maumivu makali yatatukia kati yao katika siku ya Misri, kwa maana, tazama! lazima ije.’+ Ezekieli 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaufanya pia umati wa Misri ukome kwa mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni.+
9 Katika siku hiyo wajumbe watatoka mbele zangu katika meli, ili kuifanya Ethiopia yenye kujitumaini ianze kutetemeka.+ Na maumivu makali yatatukia kati yao katika siku ya Misri, kwa maana, tazama! lazima ije.’+
10 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaufanya pia umati wa Misri ukome kwa mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni.+