22 ni wewe, Ee mfalme,+ kwa sababu wewe umekuwa mkubwa ukapata nguvu, na ukuu wako umekuwa mkubwa na kufika mbinguni,+ na utawala wako umefika mpaka sehemu za mwisho za dunia.+
9 “ ‘Lakini mimi, nilikuwa nimemwangamiza Mwamori+ kwa sababu yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, na ambaye alikuwa na nguvu kama miti mikubwa;+ nami nikaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.+