8 “ ‘Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaleta upanga juu yako,+ nami nitakatilia mbali kutoka kwako mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa.+
12 Nami nitaifanya mifereji ya Nile+ iwe nchi kavu na kuiuza nchi mkononi mwa watu wabaya,+ nami nitaifanya nchi na vyote vinavyoijaza ifanywe ukiwa kwa mkono wa wageni.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’+