4 kwa hiyo tazama, ninakutia wewe mkononi mwa Watu wa Mashariki uwe kitu cha kumilikiwa,+ nao wataweka kambi zao zenye kuta ndani yako nao hakika wataweka ndani yako maskani zao. Wao wenyewe watakula matunda yako, nao wenyewe watakunywa maziwa yako.+