Yeremia 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+ Yeremia 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Katika mahali hapa palipo ukiwa bila mwanadamu na hata mnyama wa kufugwa+ na katika majiji yake yote bado patakuwa na uwanja wa malisho wa wachungaji wanaolilaza kundi.’+
27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+
12 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Katika mahali hapa palipo ukiwa bila mwanadamu na hata mnyama wa kufugwa+ na katika majiji yake yote bado patakuwa na uwanja wa malisho wa wachungaji wanaolilaza kundi.’+