Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mti wa shambani utatoa matunda+ yake, na nchi yenyewe itatoa mazao+ yake, nao kwa kweli watakuwa katika nchi yao kwa usalama.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapovunja nira+ zao na kuwakomboa kutoka katika mkono wa wale waliokuwa wakiwatumia kama watumwa.+

  • Ezekieli 36:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ninyi wenyewe, enyi milima ya Israeli, mtatoa matawi yenu wenyewe na kuzaa matunda yenu wenyewe kwa ajili ya watu wangu Israeli,+ kwa maana wamekaribia hatua ya kuingia ndani.+

  • Ezekieli 36:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na hakika watu watasema: “Ile nchi kule ambayo ilifanywa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ nayo majiji yaliyokuwa ukiwa na ambayo yalikuwa yamebomolewa yametiwa ngome; yamekaliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki