27 Na mti wa shambani utatoa matunda+ yake, na nchi yenyewe itatoa mazao+ yake, nao kwa kweli watakuwa katika nchi yao kwa usalama.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapovunja nira+ zao na kuwakomboa kutoka katika mkono wa wale waliokuwa wakiwatumia kama watumwa.+
8 Na ninyi wenyewe, enyi milima ya Israeli, mtatoa matawi yenu wenyewe na kuzaa matunda yenu wenyewe kwa ajili ya watu wangu Israeli,+ kwa maana wamekaribia hatua ya kuingia ndani.+
35 Na hakika watu watasema: “Ile nchi kule ambayo ilifanywa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ nayo majiji yaliyokuwa ukiwa na ambayo yalikuwa yamebomolewa yametiwa ngome; yamekaliwa.”+