Zaburi 126:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+“Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+ Ezekieli 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitaweka juu yenu kano na kufanya nyama ije juu yenu, nami nitaitandaza ngozi juu yenu na kutia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’ ”+
2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+“Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+
6 Nami nitaweka juu yenu kano na kufanya nyama ije juu yenu, nami nitaitandaza ngozi juu yenu na kutia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’ ”+