Isaya 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+ na nyika itakuwa imekuwa shamba la matunda, na shamba la matunda lihesabiwe kuwa msitu halisi.+ Ezekieli 36:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nami nitachukua hatua ili mtembee katika masharti yangu,+ nayo maamuzi yangu ya hukumu mtayashika na kuyafanya kikweli.+ Ezekieli 37:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “ ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia mifupa hii hivi: “Tazama, ninaleta ndani yenu pumzi, nanyi lazima muwe hai.+
15 mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+ na nyika itakuwa imekuwa shamba la matunda, na shamba la matunda lihesabiwe kuwa msitu halisi.+
27 Nami nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nami nitachukua hatua ili mtembee katika masharti yangu,+ nayo maamuzi yangu ya hukumu mtayashika na kuyafanya kikweli.+
5 “ ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia mifupa hii hivi: “Tazama, ninaleta ndani yenu pumzi, nanyi lazima muwe hai.+