Mwanzo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+ Zaburi 104:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ukiituma roho yako, wanaumbwa;+Nawe unaufanya upya uso wa nchi. Ezekieli 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ‘Nami nitaitia roho yangu ndani yenu, nanyi mtakuwa hai,+ nami nitawakalisha katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelifanya,’ asema Yehova.”+
7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+
14 ‘Nami nitaitia roho yangu ndani yenu, nanyi mtakuwa hai,+ nami nitawakalisha katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelifanya,’ asema Yehova.”+