Hesabu 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+ Ezekieli 36:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nayo mataifa yatakayokuwa yamebaki kuwazunguka ninyi pande zote yatalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimejenga vitu vilivyobomolewa,+ nimepanda kilichofanywa ukiwa. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelitenda.’+
19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+
36 Nayo mataifa yatakayokuwa yamebaki kuwazunguka ninyi pande zote yatalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimejenga vitu vilivyobomolewa,+ nimepanda kilichofanywa ukiwa. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelitenda.’+