Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • Ezekieli 36:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nayo mataifa yatakayokuwa yamebaki kuwazunguka ninyi pande zote yatalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimejenga vitu vilivyobomolewa,+ nimepanda kilichofanywa ukiwa. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelitenda.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki