Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • Ezekieli 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, moyo wako utaendelea kuvumilia+ au mikono yako kukupa nguvu katika siku ambayo nitatenda kukuelekea wewe?+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nitatenda.+

  • Ezekieli 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao kwa kweli watakaa juu yake kwa usalama+ na kujenga nyumba+ na kupanda mashamba ya mizabibu,+ nao watakaa kwa usalama+ ninapofanya matendo ya hukumu juu ya wale wote wanaowatendea kwa dhihaka kuwazunguka pande zote;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.” ’ ”

  • Ezekieli 37:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Nami nitaitia roho yangu ndani yenu, nanyi mtakuwa hai,+ nami nitawakalisha katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelifanya,’ asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki