14 Je, moyo wako utaendelea kuvumilia+ au mikono yako kukupa nguvu katika siku ambayo nitatenda kukuelekea wewe?+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nitatenda.+
26 Nao kwa kweli watakaa juu yake kwa usalama+ na kujenga nyumba+ na kupanda mashamba ya mizabibu,+ nao watakaa kwa usalama+ ninapofanya matendo ya hukumu juu ya wale wote wanaowatendea kwa dhihaka kuwazunguka pande zote;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.” ’ ”