Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Bado utapanda mashamba ya mizabibu katika milima ya Samaria.+ Hakika wapandaji watapanda na kuanza kula matunda.+

  • Ezekieli 36:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nayo mataifa yatakayokuwa yamebaki kuwazunguka ninyi pande zote yatalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimejenga vitu vilivyobomolewa,+ nimepanda kilichofanywa ukiwa. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelitenda.’+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki