Ezekieli 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wataishi huko kwa usalama+ na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu+ na watakaa kwa usalama nitakapotekeleza hukumu dhidi ya wote wanaowazunguka ambao wanawadhihaki;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.”’” Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:26 Ibada Safi, uku. 110
26 Wataishi huko kwa usalama+ na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu+ na watakaa kwa usalama nitakapotekeleza hukumu dhidi ya wote wanaowazunguka ambao wanawadhihaki;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.”’”